18 Na mbao za mierezi ndani ya nyumba zilikuwa na mapambo ya michongo yenye umbo la kibuyu+ na shada za maua.+ Yote ilikuwa ya mierezi; halikuonekana jiwe lolote.
39 Basi mtu fulani akatoka, akaenda shambani kuchuma miholi,+ naye akapata mzabibu-mwitu na kuchuma maboga kutoka huo, akajaza vazi lake, kisha akaja na kuyakatakata vipande ndani ya chungu cha mchuzi, kwa maana hawakuwa wanayafahamu.