2 Samweli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+ 1 Wafalme 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Bath-sheba akaingia kwa mfalme katika chumba cha ndani,+ na mfalme alikuwa mzee sana,+ na Abishagi,+ Mshunamu, alikuwa akimhudumia mfalme.
24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+
15 Kwa hiyo Bath-sheba akaingia kwa mfalme katika chumba cha ndani,+ na mfalme alikuwa mzee sana,+ na Abishagi,+ Mshunamu, alikuwa akimhudumia mfalme.