Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa Yosefu alikuwa akiharakisha, kwa sababu hisia zake za ndani zilianza kusisimuka kumwelekea ndugu yake,+ hata akatafuta mahali pa kulilia, naye akaingia katika chumba cha ndani, akaanza kulia machozi humo.+

  • Waamuzi 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba baada ya muda, katika siku za mavuno ya ngano, Samsoni akaenda kumtembelea mke wake akiwa na mwana-mbuzi.+ Basi akasema: “Nitaingia kwa mke wangu katika chumba cha ndani.”+ Na baba ya mwanamke huyo hakumruhusu kuingia.

  • 2 Samweli 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Amnoni akamwambia Tamari: “Leta mkate wa kufariji katika chumba cha ndani, ili niule kama mgonjwa kutoka mkononi mwako.” Basi Tamari akachukua zile keki zenye umbo la moyo ambazo alikuwa ametayarisha, akazileta ndani kwa Amnoni ndugu yake katika chumba cha ndani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki