Waamuzi 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wakati huohuo nyumba ya Yosefu+ pia ikapanda kwenda kupigana na Betheli,+ na Yehova alikuwa pamoja nao.+ 2 Samweli 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana mtumishi wako anajua vema kwamba mimi ndiye niliyetenda dhambi; na kwa hiyo leo mimi hapa nimekuja wa kwanza kati ya nyumba yote ya Yosefu+ ili nishuke kumpokea bwana wangu mfalme.” Amosi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtafuteni Yehova, Ee nyumba ya Yosefu,+ mwendelee kuishi,+ ili asitende kama vile moto,+ nao usije ukateketeza, na Betheli lisikose mtu wa kuuzima,+
22 Wakati huohuo nyumba ya Yosefu+ pia ikapanda kwenda kupigana na Betheli,+ na Yehova alikuwa pamoja nao.+
20 Kwa maana mtumishi wako anajua vema kwamba mimi ndiye niliyetenda dhambi; na kwa hiyo leo mimi hapa nimekuja wa kwanza kati ya nyumba yote ya Yosefu+ ili nishuke kumpokea bwana wangu mfalme.”
6 Mtafuteni Yehova, Ee nyumba ya Yosefu,+ mwendelee kuishi,+ ili asitende kama vile moto,+ nao usije ukateketeza, na Betheli lisikose mtu wa kuuzima,+