Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 6:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Sasa akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akatoa baraka,+ akaimega+ ile mikate na kuanza kuwapa wanafunzi, ili wapate kuiweka mbele ya watu hao; naye akawagawanya wale samaki wawili kwa ajili ya watu wote.

  • Marko 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akauagiza umati uketi chini, naye akaichukua ile mikate saba, akashukuru,+ akaimega, na kuanza kuwapa wanafunzi wake waigawe, nao wakaugawia umati.+

  • Yohana 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi, msimamizi wa karamu alipoyaonja maji yaliyokuwa yamegeuzwa kuwa divai,+ lakini hakujua chanzo chake, ijapokuwa wale wenye kuhudumia waliokuwa wamechota hayo maji walijua, msimamizi wa karamu akamwita bwana-arusi

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki