41 Sasa akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akatoa baraka,+ akaimega+ ile mikate na kuanza kuwapa wanafunzi, ili wapate kuiweka mbele ya watu hao; naye akawagawanya wale samaki wawili kwa ajili ya watu wote.
9 Basi, msimamizi wa karamu alipoyaonja maji yaliyokuwa yamegeuzwa kuwa divai,+ lakini hakujua chanzo chake, ijapokuwa wale wenye kuhudumia waliokuwa wamechota hayo maji walijua, msimamizi wa karamu akamwita bwana-arusi