15 Je, mke anaweza kumsahau mtoto wake anayenyonya hivi kwamba asimhurumie mwana wa tumbo lake?+ Hata hawa wanawake wanaweza kusahau,+ lakini mimi mwenyewe sitakusahau wewe.+
13 Kama vile mtu ambaye mama yake mwenyewe anaendelea kumfariji, ndivyo mimi nitakavyoendelea kuwafariji ninyi;+ na kuhusiana na Yerusalemu ninyi mtafarijiwa.+