1 Samweli 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo akasema: “Nakuomba radhi, bwana wangu! Kama inavyoishi nafsi+ yako, bwana wangu, mimi ndiye yule mwanamke aliyekuwa amesimama pamoja nawe mahali hapa ili kusali kwa Yehova.+ 2 Wafalme 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa Eliya akamwambia: “Elisha, tafadhali keti hapa, kwa sababu Yehova amenituma Yeriko.”+ Lakini yeye akasema: “Kama Yehova anavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi, mimi sitakuacha.” Basi wakaenda mpaka Yeriko.
26 Ndipo akasema: “Nakuomba radhi, bwana wangu! Kama inavyoishi nafsi+ yako, bwana wangu, mimi ndiye yule mwanamke aliyekuwa amesimama pamoja nawe mahali hapa ili kusali kwa Yehova.+
4 Sasa Eliya akamwambia: “Elisha, tafadhali keti hapa, kwa sababu Yehova amenituma Yeriko.”+ Lakini yeye akasema: “Kama Yehova anavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi, mimi sitakuacha.” Basi wakaenda mpaka Yeriko.