19 Lakini akamwambia: “Nipe mwana wako.” Kisha akamchukua kutoka kifuani pake, akampeleka juu katika chumba cha darini,+ alipokuwa akikaa, akamlaza juu ya kitanda chake mwenyewe.+
6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.