1 Wafalme 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaanza kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wangu,+ je, tena unaleta mabaya juu ya mjane ninayekaa naye kwa kumuua mwana wake?” Yohana 11:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo wakaliondoa jiwe. Basi Yesu akainua macho yake kuelekea mbinguni+ na kusema: “Baba, ninakushukuru kwamba umenisikia.+ Matendo 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+
20 Naye akaanza kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wangu,+ je, tena unaleta mabaya juu ya mjane ninayekaa naye kwa kumuua mwana wake?”
41 Kwa hiyo wakaliondoa jiwe. Basi Yesu akainua macho yake kuelekea mbinguni+ na kusema: “Baba, ninakushukuru kwamba umenisikia.+
40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+