Methali 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata ukimtwanga mpumbavu awe laini kwa mtwangio katika kinu, pamoja na nafaka iliyovunjika, upumbavu wake hautamtoka.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+
22 Hata ukimtwanga mpumbavu awe laini kwa mtwangio katika kinu, pamoja na nafaka iliyovunjika, upumbavu wake hautamtoka.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+