1 Wafalme 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na watumishi wa mfalme wa Siria wakamwambia: “Mungu wao ni Mungu wa milima.+ Ndiyo sababu walikuwa na nguvu kutushinda. Basi, na tupigane nao katika nchi tambarare, tuone kama hatutakuwa na nguvu kuwashinda. Methali 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+
23 Na watumishi wa mfalme wa Siria wakamwambia: “Mungu wao ni Mungu wa milima.+ Ndiyo sababu walikuwa na nguvu kutushinda. Basi, na tupigane nao katika nchi tambarare, tuone kama hatutakuwa na nguvu kuwashinda.