Zaburi 139:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wewe mwenyewe umepata kujua kuketi kwangu na kusimama kwangu.+Umeichunguza fikira yangu tokea mbali.+ Mhubiri 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+ Danieli 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye anafunua mambo mazito na yale yaliyofichwa,+ akijua yaliyo katika giza;+ nayo nuru+ hukaa kwake.
2 Wewe mwenyewe umepata kujua kuketi kwangu na kusimama kwangu.+Umeichunguza fikira yangu tokea mbali.+
20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+
22 Yeye anafunua mambo mazito na yale yaliyofichwa,+ akijua yaliyo katika giza;+ nayo nuru+ hukaa kwake.