Mwanzo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?” 2 Wafalme 19:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami najua vema+ kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,Na kujichochea kwako juu yangu,+ Isaya 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nami najua vema kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,+Na kujichochea kwako juu yangu,+ Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?”
27 Nami najua vema+ kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,Na kujichochea kwako juu yangu,+ Isaya 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nami najua vema kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,+Na kujichochea kwako juu yangu,+
28 Nami najua vema kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,+Na kujichochea kwako juu yangu,+