Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?”

  • 2 Wafalme 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nami najua vema+ kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,

      Na kujichochea kwako juu yangu,+

  • Isaya 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nami najua vema kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,+

      Na kujichochea kwako juu yangu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki