9 Naye akatuma kwake mkuu wa 50 akiwa na 50 wake.+ Alipopanda kwake, tazama, alikuwa ameketi juu ya kilele cha mlima. Basi akamwambia: “Ewe mtu wa Mungu wa kweli,+ mfalme amesema, ‘Shuka.’”
55 Ndipo Yesu akauambia umati: “Je, mmetoka mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba ni kwenda juu ya mnyang’anyi ili kunikamata?+ Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi katika hekalu+ nikifundisha, na bado hamkunikamata.