2 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+ 2 Wafalme 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Na Moabu+ wakaanza kuiasi+ Israeli baada ya kifo cha Ahabu.+
2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+