Hesabu 1:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Hata hivyo, Walawi+ kulingana na kabila la baba zao hawakuandikishwa kati yao.+ 1 Mambo ya Nyakati 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.
24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.