2 Samweli 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Daudi akamwogopa Yehova+ siku hiyo, akaanza kusema: “Sanduku la Yehova litakujaje kwangu?”+ Zaburi 119:120 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+
120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+