1 Mambo ya Nyakati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+ Nehemia 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia, sehemu ya wana wa Yuda na sehemu ya wana wa Benyamini walikaa Yerusalemu.+ Kati ya wana wa Yuda kulikuwa na Athaya mwana wa Uzia mwana wa Zekaria mwana wa Amaria mwana wa Shefatia mwana wa Mahalaleli wa wana wa Perezi;+
4 Pia, sehemu ya wana wa Yuda na sehemu ya wana wa Benyamini walikaa Yerusalemu.+ Kati ya wana wa Yuda kulikuwa na Athaya mwana wa Uzia mwana wa Zekaria mwana wa Amaria mwana wa Shefatia mwana wa Mahalaleli wa wana wa Perezi;+