-
2 Mambo ya Nyakati 11:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Na Rehoboamu akaendelea kukaa Yerusalemu, akajenga majiji yenye ngome katika Yuda.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 14:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Basi akawaambia Yuda: “Acheni tujenge majiji haya na tujenge kuta+ za kuzunguka na minara,+ milango yenye pande mbili na mapingo.+ Nchi bado inapatikana kwa ajili yetu, kwa sababu tumemtafuta Yehova Mungu wetu.+ Tumemtafuta, naye anatupa pumziko kuzunguka pande zote.”+ Nao wakajenga na kufanikiwa.+
-