27 Lakini Rabshake akawaambia: “Je, bwana wangu amenituma kusema maneno haya kwenu na kwa bwana wenu? Je, si kwa wale watu ambao wameketi juu ya ukuta, ili wale mavi+ yao wenyewe na kunywa mkojo wao wenyewe pamoja nanyi?”+
12 Lakini Rabshake akasema: “Je, bwana wangu amenituma kusema maneno haya kwenu na kwa bwana wenu? Je, si kwa wale watu ambao wameketi juu ya ukuta, ili wale mavi yao wenyewe na kunywa mkojo wao wenyewe pamoja nanyi?”+