2 Mambo ya Nyakati 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha wakaingia kwa Hezekia mfalme na kusema: “Tumeitakasa nyumba yote ya Yehova, madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa na vyombo+ vyake vyote, na meza+ ya mkate wa tabaka na vyombo vyake vyote.+
18 Kisha wakaingia kwa Hezekia mfalme na kusema: “Tumeitakasa nyumba yote ya Yehova, madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa na vyombo+ vyake vyote, na meza+ ya mkate wa tabaka na vyombo vyake vyote.+