1 Samweli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Nyakati za kale katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi akienda kumtafuta Mungu: “Haya njooni, na twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana nabii wa leo alikuwa akiitwa mwonaji nyakati za kale.) Isaya 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Yehova amemwaga juu yenu roho ya usingizi mzito;+ naye anafunga macho yenu, manabii,+ naye amefunika vichwa vyenu,+ waonaji.+
9 (Nyakati za kale katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi akienda kumtafuta Mungu: “Haya njooni, na twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana nabii wa leo alikuwa akiitwa mwonaji nyakati za kale.)
10 Kwa maana Yehova amemwaga juu yenu roho ya usingizi mzito;+ naye anafunga macho yenu, manabii,+ naye amefunika vichwa vyenu,+ waonaji.+