2 Mambo ya Nyakati 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, wakati alipokuwa akimtaabisha, yeye, yaani, Mfalme Ahazi, alizidi kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova.+ Yeremia 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini hawakunisikiliza, nao hawakutega sikio lao,+ bali waliendelea kufanya shingo yao kuwa ngumu.+ Walitenda vibaya zaidi kuliko mababu zao!+ 2 Timotheo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mpaka ubaya zaidi, wakipotosha na kupotoshwa.+
22 Hata hivyo, wakati alipokuwa akimtaabisha, yeye, yaani, Mfalme Ahazi, alizidi kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova.+
26 Lakini hawakunisikiliza, nao hawakutega sikio lao,+ bali waliendelea kufanya shingo yao kuwa ngumu.+ Walitenda vibaya zaidi kuliko mababu zao!+
13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mpaka ubaya zaidi, wakipotosha na kupotoshwa.+