28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu.
9 Na ijapokuwa mkutanishaji alipata kuwa na hekima,+ pia aliendelea kuwafundisha watu ujuzi,+ naye alitafakari na kutafuta kwa bidii,+ apate kupanga methali nyingi kwa utaratibu.+