Kumbukumbu la Torati 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+ Zaburi 106:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Naye akaiona taabu yao+Alipokisikia kilio chao cha kusihi.+ Waroma 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 dhiki na taabu, juu ya nafsi ya kila mtu anayefanya mabaya, ya Myahudi+ kwanza na pia ya Mgiriki;+
30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+