Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.

  • 1 Wafalme 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa Mfalme Sulemani katika mwezi wa Ethanimu katika sherehe,+ yaani, mwezi wa saba.+

  • Nehemia 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki