29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.
14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+