12 Kisha nikaondoka usiku, mimi pamoja na wanaume wachache, nami sikumwambia mtu yeyote+ mambo ambayo Mungu wangu alikuwa akiweka katika moyo wangu kuyafanya kwa ajili ya Yerusalemu,+ wala sikuwa na mnyama yeyote wa kufugwa ila yule mnyama wa kufugwa niliyempanda.