Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye akaondoka huko kwenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Betheli.+ Akapiga hema lake, Betheli likiwa upande wa magharibi, na Ai+ upande wa mashariki. Ndipo akamjengea Yehova madhabahu huko+ naye akaanza kuliitia jina la Yehova.+

  • Yoshua 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yoshua akatuma wanaume kutoka Yeriko kwenda Ai,+ jiji lililo karibu na Beth-aveni,+ upande wa mashariki wa Betheli,+ na kuwaambia: “Pandeni juu, mkaipeleleze nchi.” Basi wanaume hao wakapanda, wakapeleleza Ai.+

  • Yoshua 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hakubaki mtu yeyote ndani ya Ai na Betheli ambaye hakufuatilia Israeli, hivyo wakaliacha jiji wazi kabisa, wakawafuatilia Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki