Ezra 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Nao walitujibu neno hili, wakisema: ‘Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na dunia,+ nasi tunajenga upya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa miaka mingi kabla ya hii, ambayo mfalme mkuu wa Israeli alijenga na kukamilisha.+ Nehemia 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye mfalme akaniambia: “Ni jambo gani hili unalotaka?”+ Mara moja nikasali+ kwa Mungu wa mbinguni.+ Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+
11 “Nao walitujibu neno hili, wakisema: ‘Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na dunia,+ nasi tunajenga upya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa miaka mingi kabla ya hii, ambayo mfalme mkuu wa Israeli alijenga na kukamilisha.+
4 Naye mfalme akaniambia: “Ni jambo gani hili unalotaka?”+ Mara moja nikasali+ kwa Mungu wa mbinguni.+