1 Samweli 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini Hana alikuwa akisema moyoni mwake;+ midomo yake tu ndiyo ilikuwa ikitetemeka, na sauti yake haikusikika. Lakini Eli alimdhania kuwa amelewa.+ Methali 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
13 Lakini Hana alikuwa akisema moyoni mwake;+ midomo yake tu ndiyo ilikuwa ikitetemeka, na sauti yake haikusikika. Lakini Eli alimdhania kuwa amelewa.+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+