6 Kwa maana baba zetu wametenda kwa ukosefu wa uaminifu+ nao wametenda mabaya machoni pa Yehova Mungu wetu,+ hivi kwamba walimwacha+ na kugeuza nyuso zao kutoka kwenye maskani ya Yehova+ na kumpa visogo vyao.
3 Ndiyo, wakati fulani sisi sote tulijiendesha katikati yao kupatana na tamaa za mwili wetu,+ tukifanya mambo yanayopendwa na mwili+ na fikira, nasi kiasili tulikuwa watoto wa ghadhabu+ sawa na wale wengine.