Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+

  • Hesabu 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wewe na wana wako pamoja nawe mnapaswa kuulinda ukuhani wenu juu ya kila shughuli ya madhabahu na juu ya kile kilicho ndani ya pazia;+ nanyi mtatoa utumishi.+ Nitawapa ukuhani wenu kama utumishi wa zawadi, na mgeni atakayesogea karibu lazima auawe.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Uzia akawa na ghadhabu,+ huku mkononi mwake akiwa na chetezo,+ cha kufukiza uvumba, na, alipokuwa na ghadhabu juu ya makuhani, ukoma+ ukatokea+ katika paji la uso wake mbele ya wale makuhani katika nyumba ya Yehova kando ya madhabahu ya uvumba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki