9 Kwa kuwa wote walikuwa wakijaribu kututia woga, wakisema: “Mikono+ yao italegea waache kazi, hivi kwamba haitafanywa.” Lakini sasa itie mikono yangu nguvu.+
13 Kwa sababu hii alikuwa amelipwa+ ili niogope+ na kufanya hivyo, nami nitende dhambi,+ ili wawe na nafasi ya kueneza sifa mbaya juu yangu,+ wapate kunishutumu.+