1 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa ajili ya migawanyo ya watunza-malango:+ Wa Wakora,+ Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu. 1 Mambo ya Nyakati 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova. Ezra 2:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Wana wa watunza-malango, wana wa Shalumu,+ wana wa Ateri,+ wana wa Talmoni,+ wana wa Akubu,+ wana wa Hatita,+ wana wa Shobai, wote pamoja, 139.
26 Kwa ajili ya migawanyo ya watunza-malango:+ Wa Wakora,+ Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu.
12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova.
42 Wana wa watunza-malango, wana wa Shalumu,+ wana wa Ateri,+ wana wa Talmoni,+ wana wa Akubu,+ wana wa Hatita,+ wana wa Shobai, wote pamoja, 139.