- 
	                        
            
            Ezra 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 Na katika mwaka wa pili wa kuja kwao kwenye nyumba ya Mungu wa kweli huko Yerusalemu,+ katika mwezi wa pili, Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na wengineo wa ndugu zao, makuhani na Walawi, na wale wote waliokuwa wametoka utekwani+ kwenda Yerusalemu wakaanza kazi; basi wakawaweka katika vyeo Walawi+ kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi wawe wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova.+
 
 -