- 
	                        
            
            2 Samweli 16:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
2 Basi mfalme akamwambia Siba: “Vitu hivi vinamaanisha nini kwa upande wako?”+ Ndipo Siba akasema: “Hawa punda ni kwa ajili ya nyumba ya mfalme ili wawapande, na hii mikate na mzigo wa matunda ya wakati wa kiangazi ni kwa ajili ya vijana+ ili wale, na divai ni kwa ajili ya mwenye kuchoka+ nyikani+ ili anywe.”
 
 -