Yoshua 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kutoka katika kabila la Benyamini, Gibeoni+ na kiwanja chake cha malisho, Geba+ na kiwanja chake cha malisho, 1 Mambo ya Nyakati 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hawa ndio waliokuwa wana wa Ehudi. Hawa ndio waliokuwa vichwa vya nyumba za mababu vya wakaaji wa Geba,+ nao wakawapeleka uhamishoni katika Manahathi. Nehemia 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na wana wa Benyamini walikuwa kutoka Geba,+ Mikmashi+ na Aiya+ na Betheli+ na miji yake ya kandokando,
17 Na kutoka katika kabila la Benyamini, Gibeoni+ na kiwanja chake cha malisho, Geba+ na kiwanja chake cha malisho,
6 Na hawa ndio waliokuwa wana wa Ehudi. Hawa ndio waliokuwa vichwa vya nyumba za mababu vya wakaaji wa Geba,+ nao wakawapeleka uhamishoni katika Manahathi.
31 Na wana wa Benyamini walikuwa kutoka Geba,+ Mikmashi+ na Aiya+ na Betheli+ na miji yake ya kandokando,