Mathayo 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Badala yake, jiwekeeni hazina mbinguni,+ ambako nondo na kutu havili,+ na ambako wezi hawavunji na kuiba. Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.
20 Badala yake, jiwekeeni hazina mbinguni,+ ambako nondo na kutu havili,+ na ambako wezi hawavunji na kuiba.
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.