Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Hamani akatoka siku hiyo akiwa na shangwe na furaha+ moyoni; lakini mara tu Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme+ na kwamba hakusimama+ wala kutetemeka kwa ajili yake,+ upesi Hamani akajawa na ghadhabu+ juu ya Mordekai.

  • Methali 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mtu mpumbavu ndiye hujulisha kinachomuudhi siku hiyohiyo,+ lakini mwerevu hufunika aibu.+

  • Methali 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Uzito wa jiwe na mzigo wa mchanga+—lakini usumbufu wa mpumbavu ni mzito kuliko vyote viwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki