Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+

      Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+

      Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+

  • Methali 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi wao wenyewe huwavizia ili kumwaga damu yao;+ hujificha ili wazishambulie nafsi zao.+

  • Methali 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+

  • Methali 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki