Zaburi 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+ Methali 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wao wenyewe huwavizia ili kumwaga damu yao;+ hujificha ili wazishambulie nafsi zao.+ Methali 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+