Ayubu 38:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa kweli barafu hutoka katika tumbo la nani,Nayo sakitu+ ya mbinguni, ni nani hasa anayeizaa? Zaburi 147:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Anatoa theluji kama sufu;+Anatawanya sakitu kama majivu.+