Methali 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+
31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+