Yeremia 49:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtetemeko ambao ulisababisha umekudanganya, kimbelembele cha moyo wako,+ ewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba, ukishika kilele cha kilima. Ingawa unajenga kiota chako juu kama tai,+ nitakushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova. Obadia 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.
16 Mtetemeko ambao ulisababisha umekudanganya, kimbelembele cha moyo wako,+ ewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba, ukishika kilele cha kilima. Ingawa unajenga kiota chako juu kama tai,+ nitakushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.
4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.