Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+ Hosea 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sitaonyesha hasira yangu inayowaka.+ Sitaharibu tena Efraimu,+ kwa maana mimi ni Mungu,+ mimi si mwanadamu, mimi ndiye Mtakatifu katikati yako;+ wala sitakuja nikiwa na hasira. 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+
2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+
9 Sitaonyesha hasira yangu inayowaka.+ Sitaharibu tena Efraimu,+ kwa maana mimi ni Mungu,+ mimi si mwanadamu, mimi ndiye Mtakatifu katikati yako;+ wala sitakuja nikiwa na hasira.
15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+