2 Samweli 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+ Zaburi 55:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+
9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+
18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+