Kumbukumbu la Torati 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+ Ayubu 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeye anajua vema ile njia ninayoenda.+Baada ya yeye kunijaribu, nitatoka nikiwa kama dhahabu.+ Zaburi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+
3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+
10 Kwa maana yeye anajua vema ile njia ninayoenda.+Baada ya yeye kunijaribu, nitatoka nikiwa kama dhahabu.+
9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+