Zaburi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Methali 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayesimama imara kwa ajili ya uadilifu anaelekea kupata uzima,+ lakini anayefuatilia yaliyo mabaya anaelekea kwenye kifo chake mwenyewe.+ Yeremia 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+
5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
19 Anayesimama imara kwa ajili ya uadilifu anaelekea kupata uzima,+ lakini anayefuatilia yaliyo mabaya anaelekea kwenye kifo chake mwenyewe.+
20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+