Zaburi 102:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakika ataielekea sala ya wale waliovuliwa kila kitu,+Naye hataidharau sala yao.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+