Ayubu 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa habari ya mtu yeyote anayezuia fadhili zenye upendo kutoka kwa mwenzake,+Yeye pia ataachilia mbali kumwogopa Mweza-Yote.+ Methali 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+ Mathayo 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+
14 Kwa habari ya mtu yeyote anayezuia fadhili zenye upendo kutoka kwa mwenzake,+Yeye pia ataachilia mbali kumwogopa Mweza-Yote.+
24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+
12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+