19 Lakini wakamwambia: “Nyamaza. Weka mkono wako juu ya kinywa chako, na uende pamoja nasi, uwe baba+ na kuhani+ kwetu. Ni jambo gani lililo bora, wewe uendelee kuwa kuhani kwa nyumba ya mtu mmoja+ au kuwa kuhani kwa kabila na familia katika Israeli?”+